Serikali imewataka wawekezaji wa Tanzania
waungane na wawekezaji wa mataifa mbalimbali kwa lengo la kupata uzoefu na
kufanya kazi nyingi za serikali hapa nchini ili makampuni ya Tanzania yawe na
uwezo wa kutenda kazi kubwa na kuongeza kipato kwa taifa.
Hayo yameelezwa mbele ya waandishi wa
habari jijin dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa wakandarasi wa japani na
watanzania wazziri mkuu MH.Kasim Majaliwa amesema kuungana huku kutsaidia
kubadilishana mawazo na kujadili namna mbalimbali za uendeshaji wa makampuni ya
ndanina kuongeza ushindani na mataifa mengine.
Aidha mh. majaliwa ameongeza kusema kuwa
serikali itatoa nafasinyi nyingi za kufanya kazi kwa wakandarasi wa ndani japo
uwezo wa wakandarasi hao bado unaendelea kuimarika lakini wataweza kuongeza
ushindani
nae naibu waziri wizara ya ujenzi uchukuzi
na mawasiliano injinia Edwini Ngonyani akawataka wakandarasi hao kuwa na umoja
na ukuribu na wajapani hao ambao huwa wanapewa miradi mingi kutoktana na uzoefu
walionao ili wanapopewa miradi washirikiane nao.
katika miradi hiyo ya ujenzi hapa
nchiniwawekezaji na wakandarsi wa nje na ndani wamekutana na kujadili kwa
pamoja ili kujaribu kutafuta mbinu mbalimbali za kutatua changamoto za
miundimbinu ambapo pia ujenzi wa barabara za juu katika maeneo ya makutano ya
barabara zikiwekewa mipango madhubuti ya kuweza kupunguza foleni katikta jiji
la Dar es salaam hasa maeneo ya tazara na ubungo.
No comments:
Post a Comment