Serikali imewataka wawekezaji wa Tanzania
waungane na wawekezaji wa mataifa mbalimbali kwa lengo la kupata uzoefu na
kufanya kazi nyingi za serikali hapa nchini ili makampuni ya Tanzania yawe na
uwezo wa kutenda kazi kubwa na kuongeza kipato kwa taifa.
Hayo yameelezwa mbele ya waandishi wa
habari jijin dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa wakandarasi wa japani na
watanzania wazziri mkuu MH.Kasim Majaliwa amesema kuungana huku kutsaidia
kubadilishana mawazo na kujadili namna mbalimbali za uendeshaji wa makampuni ya
ndanina kuongeza ushindani na mataifa mengine.