Showing posts with label wa nje. Show all posts
Showing posts with label wa nje. Show all posts

Friday, January 15, 2016

SERIKALI IMEWATAKA WAWEKEZAJI WA TANZANIA KUUNGANA NA WAWEKEZAJI WA KIMATAIFA KUINUA WIGO NA KUJENGA UZOEFU

Na, Anaseli Stanley.
Serikali imewataka wawekezaji wa Tanzania waungane na wawekezaji wa mataifa mbalimbali kwa lengo la kupata uzoefu na kufanya kazi nyingi za serikali hapa nchini ili makampuni ya Tanzania yawe na uwezo wa kutenda kazi kubwa na kuongeza kipato kwa taifa. 

Hayo yameelezwa mbele ya waandishi wa habari jijin dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa wakandarasi wa japani na watanzania wazziri mkuu MH.Kasim Majaliwa amesema kuungana huku kutsaidia kubadilishana mawazo na kujadili namna mbalimbali za uendeshaji wa makampuni ya ndanina kuongeza ushindani na mataifa mengine.