Showing posts with label Serikali ya Tanzania. Show all posts
Showing posts with label Serikali ya Tanzania. Show all posts
Friday, January 22, 2016
SERIKALI IMNEJIKITA KUTOA ELIMU YA UZALISHAJI NA MATUMIZI ENDELEVU YA RASLIMALI.
Mkurugenzi Msaidizi Idara
ya Mipango Miji kutoka Wizara ya Ardhi,|Nyumba na Maendeleo ya Makazi George
Pangawe akizungumza na Waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kuhusu wananchi
kuzingatia sheria na kanuni za mipango miji nchini pale wanapotaka
kuendeleza ardhi kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Elimu ya Mazingira kutoka
Baraza la Taifa la Mazingira Carlos Mbuta na kulia ni Mkuu wa Idara ya Mipango
Miji, Ardhi na Mazingira Manispaa ya Kinondoni Bi. Juliana Letara
Mkuu wa Kitengo cha Elimu
ya Mazingira kutoka Baraza la Taifa la Mazingira Carlos Mbuta akizungumza na
Waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kuhusu elimu ya uzalishaji na matumizi
endelevu ya rasilimali ili waweze kunufaika na rasilimali hizi ambapo elimu
hiyo imeingizwa katika mitaala ya elimu hapa nchini kulia ni Msaidizi Idara ya
Mipango Miji kutoka Wizara ya Ardhi,|Nyumba na Maendeleo ya Makazi George
Pangawe.
Sunday, January 17, 2016
GAZETI LA MAWIO LAFUNGUWA MOJA KWA MOJA NA SERIKALI.
Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (mwenye suti ya kijivu anayenyoosha mkono)
akiwaeleza Waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya Uamuzi wa Serikali wa
kulifuta Gazeti la MAWIO katika Daftari la Msajili wa Magazeti mara alipokutana
na waandishi hao 17 Januari 2016 katika Ukumbi wa Idara ya Habari uliopo jijini
Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene, wa
pili kulia ni Mkurugenzi Msaidizi anayeshughulikia usajili wa Magazeti, Bw.
Raphael Hokororo na anayemfuatia ni Mwanasheria wa Wizara Bw. Patrick Kipangula
Friday, January 15, 2016
SERIKALI IMEWATAKA WAWEKEZAJI WA TANZANIA KUUNGANA NA WAWEKEZAJI WA KIMATAIFA KUINUA WIGO NA KUJENGA UZOEFU
Na, Anaseli Stanley.
Serikali imewataka wawekezaji wa Tanzania
waungane na wawekezaji wa mataifa mbalimbali kwa lengo la kupata uzoefu na
kufanya kazi nyingi za serikali hapa nchini ili makampuni ya Tanzania yawe na
uwezo wa kutenda kazi kubwa na kuongeza kipato kwa taifa.
Hayo yameelezwa mbele ya waandishi wa
habari jijin dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa wakandarasi wa japani na
watanzania wazziri mkuu MH.Kasim Majaliwa amesema kuungana huku kutsaidia
kubadilishana mawazo na kujadili namna mbalimbali za uendeshaji wa makampuni ya
ndanina kuongeza ushindani na mataifa mengine.
Subscribe to:
Posts (Atom)
