Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkurugenzi Maafa Zanzibar Ali Juma wakati alipofika katika Kambi ya Skuli ya Mwanakwerekwe C Wilaya Magharibi Unguja walipohifadhiwa Wananchi wa Shehia mbali mbali waliopatwa na maafa ya Mvua leo asubuhi.
[Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment