Waziri Mkuu, Kassim Majliwa
akitia saini kitabu cha Maombolezo ya kifo cha Mbunge wa zamani,Leticia mageni
Nyerere wakati alipokwenda kumhani mjane wa Baba wa taifa, Mama Maria Nyerere
Msasani jijini Dar es salaam Januari 12, 2016. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Wednesday, January 13, 2016
Monday, January 11, 2016
KWA MUJIBU WA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA WANANCHI CUF MAALIM SEIF HAMAD AMESEMA KURUDIWA UCHAGUZI ZANZIBAR ITASABABISHA MACHAFUKO VISIWANI HUMO.
Aliyekuwa mgombea urais Zanzibar na Katibu Mkuu wa Chama cha
Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa kutokana na mgogoro
wa kisiasa unaoendelea visiwani humo usipopatiwa ufumbuzi mara moja na
kulazimisha kuwa uchaguzi huo urudiwe nidhahiri kuwa hatua hiyo inalazimisha
kuwepo kwa hali ya machafuko visiwani humo.
Saturday, January 09, 2016
TAARIFA YA SERIKALI KUHUSU ZOEZI LA KUHAMISHA WAKAZI WA MABONDENI KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM
Nchi yetu ina kingo za mito na
mabonde na maeneo mengi hatarishi ambamo watu wanaishi kinyume cha sheria, huku
wakiharibu mazingira na kuhatarisha maisha yao. Kutokana na uhaba wa
makazi, hali ni mbaya zaidi katika mabonde ya Jiji la Dar es Salaam, hasa bonde
la Mto Msimbazi.
ASKOFU MKUU WA JIMBO KUU LA KATOLIKI LA DAR ES SALAAM, MWADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO AMEPONGEZA WELEDI WA HUDUMA YA TASISI YA MOYO ILIYOPO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI.
Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akizungumza
na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kupongeza jopo la
Madaktari waliomhudumia katika Hospitali ya Mhimbili.
Friday, January 08, 2016
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU VIKAO VYA TATHMINI NA UCHAMBUZI VYA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
Katika
utaratibu wake wa kujipanga na kuendelea kutekeleza mikakati ya malengo ya muda
mfupi na muda mrefu kwa ajili ya kufikia lengo kuu la kushinda uchaguzi,
kushika dola na kuongoza serikali kwa ajili ya kuwatumikia wananchi, Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekuwa na utamaduni wa kuwa na vikao vya
kujitathmini na kufanya uchambuzi kila baada ya uchaguzi mkuu na kuweka mpango
kazi unaopaswa kutekelezwa na chama kwa miaka mitano inayofuata.
PICHA RASMI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI INAPATIKANA IDARA HABARI MAELEZO KWA SHILINGI 15,000.
Thursday, January 07, 2016
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA TATU MHESHIMIWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM TAREHE 07 JANUARI, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamini William Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Posts (Atom)



