Waziri Mkuu, Kassim Majliwa
akitia saini kitabu cha Maombolezo ya kifo cha Mbunge wa zamani,Leticia mageni
Nyerere wakati alipokwenda kumhani mjane wa Baba wa taifa, Mama Maria Nyerere
Msasani jijini Dar es salaam Januari 12, 2016. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
