Kaimu Mkurugenzi Idara ya
Habari Maelezo Bi Zamaradi Kawawa akionesha kwa waandishi wa Habari
picha rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt John Pombe
Joseph Magufuli,kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO
Bw. Raphael Hokororo.picha hiyo inauzwa sh. 15,000/- tu.