Aliyekuwa mgombea urais Zanzibar na Katibu Mkuu wa Chama cha
Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa kutokana na mgogoro
wa kisiasa unaoendelea visiwani humo usipopatiwa ufumbuzi mara moja na
kulazimisha kuwa uchaguzi huo urudiwe nidhahiri kuwa hatua hiyo inalazimisha
kuwepo kwa hali ya machafuko visiwani humo.
