Showing posts with label Rais Magufuli. Show all posts
Showing posts with label Rais Magufuli. Show all posts
Wednesday, February 08, 2017
RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA UJENZI WA TERMINAL III UWANJA WA NDEGE WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipofanya ziara ya kustukiza katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa Terminal III kuona maendeleo ya ujenzi unaondelea leo Jumatano February 8, 2017
Thursday, January 19, 2017
Monday, August 08, 2016
Monday, August 01, 2016
Wednesday, July 20, 2016
Monday, July 18, 2016
Thursday, July 14, 2016
HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI WAKATI WA UZINDUZI WA MPANGO WA UGAWAJI MADA...
1-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea wakati wa hafla ya utoaji madawati kwa waheshimiwa wabunge kwa ajili ya shule zilizo kwenye majimbo yao ambapo pamoja na kuishukuru ofisi ya Bunge kwa kazi hiyo pia ameahidi serikali yake kuendelea kukabiliana na changamoto zilizokatika sekta ya elimu ikiwemo upungufu wa vyumba vya madarasa ili kuwawezesha wanafunzi kuwa na mazingira rafiki ya kujifunzia. Katika viwanja vya Karemjee Jijini Dar es Salaam.
Monday, July 11, 2016
Saturday, June 25, 2016
MAGUFULI AWATAKA POLISI KUDHIBITI MAJAMBAZI NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia kwenye uzinduzi wa kituo cha Mawasiliano cha Polisi Call Centre Biafra Kinondoni.
Wednesday, June 22, 2016
RAIS MAGUFULI AZINDUA SARAFU YA KUMBUKUMBU YA SHILINGUI ELFU HAMSINI JIJINI DAR ES SALAAM:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na katibu Mkuu Wizara ya fedha na Mipango Dkt Servacius Likwelile alipowasili kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya benki kuu ya Tanzania kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam Juni 22, 2016
Tuesday, June 07, 2016
RAIS DKT MAGUFULI APOKEA SHILINGI BILIONI 12 YA BAKAA YA TUME YA UCHAGUZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea mfano wa hundi ya Bilioni 12 kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe Jaji Mstaafu Damian Lubuva na Mkurugenzi wa uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani Kobwey ikiwa ni bakaa ya tume hiyo zilizopangwa kutumika na Tume ya Uchaguzi katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka 2015.
Monday, June 06, 2016
RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA IBADA KANISA LA MAOMBEZI LA MCHUNGAJI ANTONY LUSEKELO ‘MZEE WA UPAKO’ UBUNGO KIBANGU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo wakati akiagana na Mchungaji Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ katika kanisa lake la Maombezi lililopo Ubungo Kibangu jijini Dar es Salaam. Rais Dkt. Magufuli alihudhuria ibada hiyo pamoja na kukagua barabara inayotoka Ubungo Kibangu hadi Barabara ya Mandela eneo la Riverside.
Saturday, June 04, 2016
Thursday, May 26, 2016
RAIS DK.JOHN POMBE MAGUFULI AKEMEA VITENDO VYA RUSHWA KWA WAKANDARASI:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wakandarasi, Wahandisi na wadau mbalimbali wa sekta ya Ujenzi kabla ya kufungua rasmi Mkutano wa Siku mbili wa Mashauriano wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi nchini CRB uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Tuesday, May 24, 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)
















