Showing posts with label mhe Paul Makonda. Show all posts
Showing posts with label mhe Paul Makonda. Show all posts

Tuesday, August 02, 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA MAJALIWA AFUNGUA MAONYESHO YA NANENANE MOROROGORO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Banda la Maonyesho la wilaya ya Temeke kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane mjini Morogoro Agosti 1, 2016. Kulia kwake ni mkewe Mary na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam , Paul Makonda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Tuesday, July 05, 2016

Saturday, June 25, 2016

MAGUFULI AWATAKA POLISI KUDHIBITI MAJAMBAZI NCHINI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia kwenye uzinduzi wa kituo cha Mawasiliano cha Polisi Call Centre Biafra Kinondoni. 

Saturday, May 21, 2016

RC PAUL MAKONDA AFUNGUA MACHINJIO YA VINGUNGUTI JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kushoto), akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi wakati alipowasili kuzungumza na wafanyabiashara wa nyama katika Machinjio ya Vingunguti kabla ya kuifungua rasmi jana. Katikati ni Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omari Kumbilamoto ambaye ni Diwani wa Kata ya Vingunguti.

Saturday, May 14, 2016

RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA UWANJA WA NDEGE JNIA:


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua mashine ya ukaguzi wa mizigo katika sehemu ya kuwasili abiria ya uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, upande wa uwanja wa zamani (Terminal One) wakati wa ziara yake ya ghafla aliyoifanya Ijumaa tarehe 13 Mei, 2016. Kulia kwa Rais ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda na kushoto ni Kaimu Meneja uendeshaji Lilian Minja.

Tuesday, May 10, 2016

WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS MAGUFULI LONDON

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kabla ya kuondoka kwenda London Uingereza Mai 10 , 2016, kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi wa kujadili masuala ya kupambana na rushwa duniani.(Picha n Ofisi ya Wziri Mkuu).

Friday, May 06, 2016

WAFANYAKAZI WA BENKI YA EXIM WASHIRIKI KAMPENI YA USAFI DAR

Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim Tanzania wakishiriki usafi wa mazingira kuunga mkono kampeni ya siku 90 ya usafi iliyozinduliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw Paul Makonda jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kampeni hiyo inalenga kutoa elimu kwa wakazi wa jiji hilo kuhusu umuhimu wa usafi wa mazingira ili kukabiliana na milipuko ya magonjwa.

Thursday, May 05, 2016

KUFIKIA MWAKA 2030 WAKAZI WA DAR WANATARAJIWA KUWA MILIONI 10:























MKOA wa Dar es Salaam unatarajiwa kuwa watu milioni 10 ifikapo 2030 hivyo kunahitaji uboreshaji wa jiji katika  kuendana na idadi  watu  kuongezeka kwa kiwango kikubwa.

Akizungumza  na waandishi wa habari ofisini kwake , Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda(Pichani) amesema kuwa kutokana kuwepo kwa ongezeko la watu kila mwaka Serikali ilibuni mradi wa uendelezaji wa jiji la Dar es Salaam kwa ufadhili wa Benki ya Dunia na serikali ya Tanzania.

Saturday, April 30, 2016

MKUU WA MKOA PAUL MAKONDA AZINDUA KAMPENI YA USAFI JIJI LA DAR:

;

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mh.Paul Makonda (wa pili kushoto),akiwa sambamba na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa za Wilaya ya Kinondoni,Ilala pamoja na Temeke wakishiriki kwa pamoja kufagia ikiwa ni ishara ya kumuunga mkono Mh Paul Makonda kuzindua kampeni ya Usafi wa jiji la Dar Es Salaam,uzinduzi wa kampeni hiyo imefanyika mapema leo asubuhi Katika viwanja vya .Lidaz Club,Kinondoni na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali serikali,dini na makundi mengine yakiwemo makundi ya michezo na waendesha boda boda.Mkuu wa Mkoa alizindua kampeni hiyo ya Usafi kwa kuwakabidhi Wenyeviti hao kila mmoja ufagio wa ajili ya kwenda kuwahamasisha wananchi wao katika mitaa yao.

Wednesday, April 20, 2016

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA AENDELEA KUPAMBANA NA WATUMISHI HEWA.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na watumishi hewa waliopo katika Manispaa za Mkoa wa  Dar es Salaam. Amesema kuwa mchakato wa kuwatafuta watumishi hewa wengine unaendelea katika manispaa za mkoa wake.

Monday, April 18, 2016

SINTOFAHAMU YAIBUKA MKATABA WA SOKO LA MACHINGA COMPLEX.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wafanyabiashara  katika soko la machinga Complex  mara baada ya kutembelea na Kamati ya Ulinzi na Usalama  jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar eS Salaam, Paul Makonda (mwenye tinted kushoto)  akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama wakitembelea soko la machinga Complex  jijini Dar es Salaam.

Saturday, April 16, 2016

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM NA KOREA KUSINI WAWEKA JIWE LA MSINGI LA HOSPITALI YA CHANIKA MANISPAA YA ILALA

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia) na Makamu wa Rais wa Shirika la Koica la nchini Korea Kusini, Taemyon Kwon, wakiweka tofali kwa pamoja kuashiria uweka wa jiwe la msingi la Hospitali ya Chanika iliyopo Manispaa ya Ilala, inayojengwa kwa ufadhili wa nchi hiyo Dar es Salaam jana. Ujenzi huo hadi kukamilika utagharimu sh. bilioni 8.8  za kitanzania.
Hutuba na taarifa ya mradi huo zilisomwa.

Thursday, April 14, 2016

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS-TAMISEMI, GEORGE SIMBACHAWENE AVUNJA BODI YA MACHINGA COMPELEX:


Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene amevunja bodi ya Soko la Machinga Complex lililopo Ilala Mchikini Dar es Salaam na kulikabidhi kwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.

Tuesday, April 12, 2016

Monday, March 28, 2016

YEYOTE ATAKAYE KIMBILIA KWENYE VYOMBO VYA DOLA KULISHITAKI KANISA ATAONA CHA MOTO:


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema mkoa wake hauko salama kama watu wanavyodhani kwa sababu silaha nyingi zinamilikiwa kiholela na mafunzo ya matumizi ya silaha hizo hutolewa hata kwa watoto.

Makonda alisema hayo wakati wa ibada ya Pasaka iliyofanyika katika Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Albano na kuwataka wakazi wa Dar es Salaam kujitokeza kuhakiki silaha zao na kusalimisha zile zinazomilikiwa kinyume cha sheria.

Alisisitiza kwamba ifikapo Julai Mosi, operesheni maalumu ya kukamata silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria itaanza na yeye mwenyewe ndiye atakayeiongoza.

“Tumegundua kwamba kwenye bonde la mto unaotenganisha Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, kuna mafunzo yanatolewa kwa watoto. Wazazi wanadhani watoto wao wamekwenda shule  kumbe wamechukuliwa huko.Hatuwezi kukubali hali hiyo iendelee."Alisema