Showing posts with label Singida. Show all posts
Showing posts with label Singida. Show all posts

Monday, August 01, 2016

RAIS DKT MAGUFULI AHITIMISHA ZIARA YA SIKU NNE MIKOA KATIKA SINGIDA, TABORA NA SHINYANGA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia wananchi wa Katoro na Buseresere wakati akielekea nyumbani kwake Chato mkoani Geita Agosti 1, 2016

Tuesday, May 10, 2016

MBUNGE WA DODOMA MJINI NA NAIBU WAZIRI WA KAZI, VIJANA NA AJIRA, MHE. ANTONY MAVUNDE ATEMBELEA KAMBI TIBA YA GSM DODOMA

Mbunge wa Dodoma Mjini na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde  amefanya ziara ya kushtukiza katika kambi tiba ya GSM Foundation inayofanywa na kikosi cha Madaktari bingwa kutoka hospitali ya MOI, ambayo kuanzia  imepiga kambi Dodoma baada ya kutoka katika mikoa ya Mwanza, Singida, na Shinyanga.