Showing posts with label Paul Makonda. Show all posts
Showing posts with label Paul Makonda. Show all posts
Thursday, January 26, 2017
Thursday, December 15, 2016
Friday, November 11, 2016
MAKONDA AMWOMBA RAIS MAGUFULI KUTENGA ENEO LA KUZIKA VIONGOZI WA KITAIFA.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemuomba Rais John Magufuli kutenga eneo katika makao makuu ya nchi yaliyopo mjini Dodoma, kwa ajili ya kuhifadhi miili ya viongozi waliotoa mchango wao katika kuliletea Taifa maeneleo .
Thursday, November 03, 2016
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM ANATARAJIWA KUPANDA KIZIMBANI NOVEMBA 9 MWAKA HUU 2016
Mkuu wa
Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Novemba 9,2016 anatarajiwa kupanda kizimbani katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujitetea dhidi ya kesi ya madai ya Sh 200
milioni iliyofunguliwa na waliokuwa makada wa CCM, Mgana Msindai na John
Guninita.
Siku
hiyo, Makonda anayetetewa na wakili wa kujitegemea, Seneni Mponda atatoa
ushahidi wa utetezi wake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba.
Friday, September 30, 2016
Tuesday, August 16, 2016
MAKONDA AYAOMBA MASHIRIKA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS MAGUFULI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ametoa wito kwa Taasisi na Mashirika mbalimbali jijini Dar es salaam kujitokeza kwa wingi kuunga mkono zoezi la uchangiaji wa hiari wa madawati kwa shule za msingi linaoendelea jijini humo ili kuweka mazingira mazuri ya kujifunzia yatakayozalisha wanafunzi bora wa shule za msingi.
Thursday, June 16, 2016
Monday, May 02, 2016
Thursday, April 28, 2016
Saturday, March 26, 2016
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA AOMBEWA DUA NA MUFTI WA TANZANIA:
Mufti wa Tanzania, Abubakar Zubery (wa pili kushoto), akimuombea dua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (katikati), Dar es Salaam leo asubuhi. Kutoka kulia ni Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, Mshauri Mkuu wa Mufti, Sheikh Abubakar Khalid na Msaidizi wa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Othman Mkambaku.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum (kulia), akizungumza na wanahabari kabla ya kufanyika dua hiyo. Kushoto ni Mshauri Mkuu wa Mufti, Sheikh Abubakar Khalid.
Mufti Zubery, akifanya mazungumzo na Makonda.
Friday, March 18, 2016
Sunday, March 13, 2016
DC MAKONDA, GSM FOUNDATION WAZINDUA UJENZI WA JENGO LA UPASUAJI HOSPITALI YA RUFAA YA MWANANYAMALA JIJINI DAR ES SALAAM.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), ambaye mchana huu Rais Dk.John Magufuli amemteua kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ujenzi wa jengo la upasuaji katika Hospitali ya Mwananyamala Dar es Salaam leo, ambalo litakuwa maalumu kwa ajili ya utoaji wa huduma za upasuaji kwa wajawazito na wagonjwa wengine wadharura. Kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Azizi Msuya, Mwakilishi wa Kampuni ya GSM, Deogratias Ndejembi ambao watajenga jengo hilo na kushoto ni Mhandisi, Hersi Said kutoka GSM ambaye atasimamia ujenzi wa jengo hilo.
Mwakilishi wa Kampuni ya GSM Foundation, Deogratias Ndejembi akizungumza na wanahabari kuhusu ufadhili wao wa ujenzi wa jengo hilo.
Friday, January 15, 2016
UJENZI WA SHULE NI JUKUMU LA WADAU MBALIMBALI KUSHIRIKI KATIKA KUKAMILISHA SUALA HILO.
Na Anaseli
Stanley,
Mkuu wa
wilaya ya kinondoni bw. Paul Makonda amewataka wadau na makampuni mbalimbali
kuendelea kusaidia azimio la ujenzi wa shule saba katika wilaya hiyo kwa lengo
la kusaidia watoto zaidi ya elfu 3 ambao wana uhitaji wa elimu ya sekondari.
Akizungumza
na waandishi wa habari jijini dare s salaam wakati akipokea misaada hiyo Bw.
Makonda amesema kuwa anawashukuru wadau hao na kuwataka wengine kujitokeza
kusaidia kukamilisha kwa zoezi hilo la ujenzi
Subscribe to:
Posts (Atom)



