Showing posts with label Mkuu wa wilaya. Show all posts
Showing posts with label Mkuu wa wilaya. Show all posts

Friday, January 15, 2016

UJENZI WA SHULE NI JUKUMU LA WADAU MBALIMBALI KUSHIRIKI KATIKA KUKAMILISHA SUALA HILO.

Na Anaseli Stanley,
Mkuu wa wilaya ya kinondoni bw. Paul Makonda amewataka wadau na makampuni mbalimbali kuendelea kusaidia azimio la ujenzi wa shule saba katika wilaya hiyo kwa lengo la kusaidia watoto zaidi ya elfu 3 ambao wana uhitaji wa elimu ya sekondari.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini dare s salaam wakati akipokea misaada hiyo Bw. Makonda amesema kuwa anawashukuru wadau hao na kuwataka wengine kujitokeza kusaidia kukamilisha kwa zoezi hilo la ujenzi