Showing posts with label Mufti wa Tanzania. Show all posts
Showing posts with label Mufti wa Tanzania. Show all posts
Wednesday, July 06, 2016
Saturday, March 26, 2016
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA AOMBEWA DUA NA MUFTI WA TANZANIA:
Mufti wa Tanzania, Abubakar Zubery (wa pili kushoto), akimuombea dua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (katikati), Dar es Salaam leo asubuhi. Kutoka kulia ni Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, Mshauri Mkuu wa Mufti, Sheikh Abubakar Khalid na Msaidizi wa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Othman Mkambaku.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum (kulia), akizungumza na wanahabari kabla ya kufanyika dua hiyo. Kushoto ni Mshauri Mkuu wa Mufti, Sheikh Abubakar Khalid.
Mufti Zubery, akifanya mazungumzo na Makonda.
Subscribe to:
Posts (Atom)