Na Anaseli
Stanley,
Mkuu wa
wilaya ya kinondoni bw. Paul Makonda amewataka wadau na makampuni mbalimbali
kuendelea kusaidia azimio la ujenzi wa shule saba katika wilaya hiyo kwa lengo
la kusaidia watoto zaidi ya elfu 3 ambao wana uhitaji wa elimu ya sekondari.
Akizungumza
na waandishi wa habari jijini dare s salaam wakati akipokea misaada hiyo Bw.
Makonda amesema kuwa anawashukuru wadau hao na kuwataka wengine kujitokeza
kusaidia kukamilisha kwa zoezi hilo la ujenzi