Showing posts with label Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam. Show all posts
Showing posts with label Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam. Show all posts
Friday, July 22, 2016
Tuesday, July 05, 2016
JESHI LA POLISI KANDA MAALUMU YA DAR ES SALAAM KWA KUSHIRIKIANA NA VIKOSI MBALIMBALI VYA ULINZI NA USALAMA WAMEWEKA MIKAKATI YA MPANGO KAZI WA KUDHIBITI MATUKIO YA UHALIFU AU FUJO KATIKA KUSHEHEREKEA SIKUU YA ID EL FITRI.
Tuesday, April 26, 2016
JESHI LA POLISI LAWATIA MBARONI OMBAOMBA 45 KATIKA JIJI LA DAR ES SALAA NA 17 WAPELEKWA GEREZANI
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, wamewakamata na kuwaondoa ombaomba 45 na 17 wamewapeleka gerezani.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro alisema jana kuwa jeshi hilo kwa kushirikiana na Idara ya Ustawi wa Jamii, wanafanya utaratibu wa kuhakikisha watu hao wanarudishwa mikoani walikotoka.
“Kazi hii inaenda vizuri na ombaomba wachache wamebakia ambao wakiwaona askari wanakimbia na kutokomea kusikojulikana,”alisema Sirro.
Tuesday, April 12, 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)

