Showing posts with label Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam. Show all posts
Showing posts with label Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam. Show all posts

Friday, July 22, 2016

JESHI LA POLISI MKOA WA DAR ES SALAAM LAINGIZA SH.MILIONI 198 KATIKA ZOEZI LA KUHAKIKI SILAHA 14107

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna, Simon Sirro, akisisitiza jambo wakati akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Ofisini kwake Dar es Salaam leo mchana alipokuwa akitoa taarifa ya matukio mbalimbali ya uhalifu pamoja na mchakato wa uhakiki wa silaha.

Tuesday, April 26, 2016

JESHI LA POLISI LAWATIA MBARONI OMBAOMBA 45 KATIKA JIJI LA DAR ES SALAA NA 17 WAPELEKWA GEREZANI


Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, wamewakamata na kuwaondoa ombaomba 45 na 17 wamewapeleka gerezani. 
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro alisema jana kuwa jeshi hilo kwa kushirikiana na Idara ya Ustawi wa Jamii, wanafanya utaratibu wa kuhakikisha watu hao wanarudishwa mikoani walikotoka. 
 
“Kazi hii inaenda vizuri na ombaomba wachache wamebakia ambao wakiwaona askari wanakimbia na kutokomea kusikojulikana,”alisema Sirro. 

Tuesday, April 12, 2016