Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akiongea na wakazi wa Magomeni Kota kuhusu kumalizika kwa mgogoro wa makazi leo jijini Dar es Salaam. Kushoto Ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angelina Mabula na Kulia ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Yamungu Kayandabila.
Showing posts with label Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi. Show all posts
Showing posts with label Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi. Show all posts
Tuesday, August 02, 2016
Thursday, June 09, 2016
Saturday, May 21, 2016
HABARI MBALIMBALI ZA WIZARA YA ALDHI KUTOKA BUNGENI DODOMA
ARDHI KUKUSANYA BILIONI 111.77 MWAKA UJAO WA FEDHA.
Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi inatarajia kukusanya shilini bilioni 111.77 kutokana na vyanzo mbalimbali za shughuli za sekta za ardhi katika mwaka ujao wa fedha.
Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dodoma na Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi wakati akiwasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa fedha.
Alisema kuwa mapato hayo yanatarajiwa kupatikana kutokana upimamaji na ukutoaji hatimiliki za viwanja na mashamba 400,000 kwa wananchi.
Thursday, April 14, 2016
WAZIRI WA ARDHI MHE WILLIAM LUKUVIAKUTANA NA WAMILIKI WA MABENKI NCHINI.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akutana na Wamiliki wa Mabenki Nchini ili kuzitambua Hati Miliki za Ardhi za Kimila katika kutoa mikopo kwa Wakulima, wajenzi na Wajasiliamali jijini Dar es salaam katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Subscribe to:
Posts (Atom)