Showing posts with label Wizara ya Ardhi. Show all posts
Showing posts with label Wizara ya Ardhi. Show all posts

Saturday, May 21, 2016

HABARI MBALIMBALI ZA WIZARA YA ALDHI KUTOKA BUNGENI DODOMA

ARDHI KUKUSANYA BILIONI 111.77 MWAKA UJAO WA FEDHA.
Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi inatarajia kukusanya shilini bilioni 111.77 kutokana na vyanzo  mbalimbali za shughuli za sekta za ardhi katika mwaka ujao wa fedha.
Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dodoma na Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi wakati akiwasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa fedha.
Alisema kuwa mapato hayo yanatarajiwa kupatikana kutokana upimamaji na ukutoaji hatimiliki za  viwanja na mashamba 400,000 kwa wananchi.