Showing posts with label Mwenyekiti wa Baraza la ardhi na nyumba la Wilaya ya Kiteto Charles Mnzava. Show all posts
Showing posts with label Mwenyekiti wa Baraza la ardhi na nyumba la Wilaya ya Kiteto Charles Mnzava. Show all posts

Thursday, June 09, 2016

WAZIRI LUKUVI AZINDUA BARAZA LA ARDHI WILAYA YA KITETO MKOANI MANYARA

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi, William Lukuvi akisalimiana na Mpima ardhi mkuu wa kanda ya kaskazini Nina Rutakyamirwa, alipofika wilayani Kiteto kuzindua Baraza la Ardhi na Nyumba la wilaya hiyo (kushoto) ni mkuu wa Mkoa huo, Dk Joel Bendera.