Watu 12 wameuawa baada ya watu wenye silaha kushambulia nyumba moja ya malazi mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya.
Showing posts with label Kenya. Show all posts
Showing posts with label Kenya. Show all posts
Tuesday, October 25, 2016
Monday, July 04, 2016
NETANYAHU: ISRAELI INATAKA UHUSIANO NA AFRIKA
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ametua nchini Uganda katika ziara ya kwanza kabisa kwa kiongozi wa taifa hilo la kiyahudi kuzuru Afrika tangu mwaka wa 1987.
Tuesday, June 21, 2016
AL SHABAAB WAUA POLISI 5 MANDERA KENYA
Maafisa 5 wa polisi wa Kenya wameuawa mapema leo mjini Mandera katika shambulizi lililotekelezwa na wapiganaji wa kundi la wanamgambo la Al shabab kutoka Somalia.
Tuesday, May 10, 2016
MEGAWATI 100 KUTOKANA NA JOTOARDHI KUZALISHWA MIAKA 7 IJAYO:
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati, Dk. Juliana Pallangyo (pichani) akisoma hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa siku tatu jijini Dar es Salaam uliokutanisha wataalam kutoka nchi mbalimbali kwa ajili ya kujadili taarifa ya mtaalam mwelekezi kuhusu utafiti uliofanywa katika Ziwa Ngozi lililopo mkoani Mbeya ambapo kuna viashiria vya jotoardhi pamoja na eneo la Kibiro nchini Uganda.
Tuesday, April 12, 2016
KAMPUNI YA KIJAPANI INAYOFANYA SHUGHULI ZAKE NCHINI (TRICSTER) IMEANDAA SHINDANO LA WAZO LA BIASHARA
Kampuni ya Kijapani inayofanya shughuli zake
nchini (Tricster) imeandaa shindano la
wazo la biashara litakalozishirikisha nchi tano
za Afrika zikiwemo Kenya,Rwanda,Zambia,Zimbabwe na Tanzania mwenyeji
wa mashindano hayo kwa mwaka 2016.
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es
Salaam Meneja Mradi kutoka kampuni ya Afrika New Business Development
Department(DMM) Bw.Alex Kapungu ambao
ndio wadhamini wa shindano hilo ameeleza
kuwa lengo la shindano hilo ni kusaidia
kuboresha ujasiriamali katika bara la Afrika.
Subscribe to:
Posts (Atom)
