Showing posts with label Kenya. Show all posts
Showing posts with label Kenya. Show all posts

Tuesday, October 25, 2016

WATU 12 WAMERIPOTIWA KUUWAWA KATIKA SHAMBULIO LILOTEKELEWA NA KUNDI LA AL-SHABAB HUKO MANDERA,KENYA.

Washambuliaji walirusha vilipuzi kwenye jumba hilo

Image copyright
Watu 12 wameuawa baada ya watu wenye silaha kushambulia nyumba moja ya malazi mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya.

Monday, July 04, 2016

NETANYAHU: ISRAELI INATAKA UHUSIANO NA AFRIKA

Image captionNdege ya waziri Netanyahu
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ametua nchini Uganda katika ziara ya kwanza kabisa kwa kiongozi wa taifa hilo la kiyahudi kuzuru Afrika tangu mwaka wa 1987.

Tuesday, June 21, 2016

AL SHABAAB WAUA POLISI 5 MANDERA KENYA


Image copyrightAP
Image captionAl shabaab waua polisi 5 Mandera Kenya

Maafisa 5 wa polisi wa Kenya wameuawa mapema leo mjini Mandera katika shambulizi lililotekelezwa na wapiganaji wa kundi la wanamgambo la Al shabab kutoka Somalia.

Tuesday, May 10, 2016

MEGAWATI 100 KUTOKANA NA JOTOARDHI KUZALISHWA MIAKA 7 IJAYO:

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati, Dk. Juliana Pallangyo (pichani) akisoma hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa siku tatu jijini Dar es Salaam uliokutanisha wataalam kutoka nchi mbalimbali kwa ajili ya kujadili taarifa ya mtaalam mwelekezi kuhusu utafiti uliofanywa katika Ziwa Ngozi lililopo mkoani Mbeya ambapo kuna viashiria vya jotoardhi pamoja na eneo la Kibiro nchini Uganda.

Tuesday, April 12, 2016

KAMPUNI YA KIJAPANI INAYOFANYA SHUGHULI ZAKE NCHINI (TRICSTER) IMEANDAA SHINDANO LA WAZO LA BIASHARA

Na Lorietha Laurence-Maelezo
Kampuni ya Kijapani inayofanya shughuli zake nchini (Tricster)  imeandaa shindano la wazo la biashara  litakalozishirikisha  nchi tano  za Afrika zikiwemo Kenya,Rwanda,Zambia,Zimbabwe na Tanzania mwenyeji wa  mashindano hayo kwa mwaka 2016.
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Meneja Mradi kutoka kampuni ya Afrika New Business Development Department(DMM)  Bw.Alex Kapungu ambao ndio  wadhamini wa shindano hilo ameeleza kuwa lengo la shindano hilo ni  kusaidia kuboresha ujasiriamali katika bara la Afrika.