Showing posts with label Wazee na Watoto Ummy Mwalimu. Show all posts
Showing posts with label Wazee na Watoto Ummy Mwalimu. Show all posts

Monday, July 10, 2017

WAZIRI UMMY MWALIMU ATEMBELEA KITUO CHA AFYA CHA KATORO NA KUJIONEA HALI YA KITUO HICHO

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akisalimiana na watumishi wa kitupo cha afya cha mji mdogo wa Katoro.Waziri huyo amefika katika  kituo hicho ili kujionea hali ya kituo hicho ambacho kinahudumia idadi kubwa ya wakazi wa mji huo pamoja na jirani zake licha ya kuwa na changamoto ya watumishi pamoja na miundombinu

Wednesday, March 08, 2017

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA MKOANI SINGIDA

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akikata utepe kuzindua kituo na kiwanda cha kuongeza thamani mazao ya nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama VICOBA wa wilaya ya Singida, kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa shirika la UN women Tanzania Maria Karadenizli. 

Friday, January 20, 2017

WAZIRI UMMY AAGIZA WAKUNGA NA WAUGUZI WASIKAMATWE BILA YA KUFUATA TARATIBU ZILIZOPO.

Waziri wa Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu katikati akikata utepe kuashiria kuzindua  mradi wa Mkunga Okoa Maisha , wa kwanza kushoto ni Balozi wa Canada  Bi. Susan Steffan na wakawnza kulia ni Katibu Mkuu wa Baraza la Wakunga nchini Dkt. Sebalda Leshabari.

Tuesday, December 06, 2016

BALOZI WA CUBA MHE. JORGE LUIS AMUAGA WAZIRI UMMY

6

Balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Jorge Luis amuga Waziri wa Afya,maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na watoto Ummy mwalimu leo ofisini kwake,Balozi Luis amemaliza muda wake na hivyo kurejea nchini Cuba Waziri Ummy mwalimu amesema anaishukuru nchi ya Cuba kwa ushirikiano wao wa kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya afya hususani kwenye mafunzo na kuleta madaktari kufanya kazi nchini Tanzania
(picha na Wizara ya Afya)

Thursday, October 06, 2016

WAKURUGENZI WATAKIWA KULIPA POSHO ZA SARE KWA WAUGUZI


Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu,akiongea na wauguzi(hawapo pichani)wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 44 wa wauguzi Tanzania.