Kutoka kushoto ni mke wa askofu mkuu wa wapo mission international Alhappynes Gamanywa na Elizabeth lyimo kutoka taasisi ya lishe na chakula.
Saturday, December 03, 2016
PUMA YANG'ARISHA UTALII ZANZIBAR KWA MASHINDANO YA NDEGE KONGWE 22
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Rubani wa kike mdogo kuliko marubani wote wa ndege ya zamani, Sara Meehan (18), jinsi injini ya ndege hiyo kutoka Botswana inavyofanya kazi, wakati wa mapokezi ya ndege hizo 'Vintage Air Rally' kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume, Zanznibar jana. Ndege hizo zilitengezwa kati ya mwaka 1920 na 1930.
Friday, December 02, 2016
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA UMMA ARUSHA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa serikali na halmashauri wa mkoa wa Arusha kwenye ukumbi wa Simba wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha, Desemba 2, 2016.
Subscribe to:
Posts (Atom)


