Showing posts with label Ofisi ya Waziri Mkuu. Show all posts
Showing posts with label Ofisi ya Waziri Mkuu. Show all posts

Friday, December 02, 2016

WANAWAKE WAONGOZA KUWA NA VIRUSI VYA UKIMWI NCHINI

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO
Utafiti wa Viashiria vya Virusi vya UKIMWI (VVU) na Maralia (THMIS) wa mwaka 2011/2012 kwa upande wa Tanzania Bara vinaonyesha kuwa idadi kubwa ya wanawake wameambukizwa ugonjwa huo kuliko wanaume.