Showing posts with label Jenista Mhagama. Show all posts
Showing posts with label Jenista Mhagama. Show all posts

Friday, December 02, 2016

WANAWAKE WAONGOZA KUWA NA VIRUSI VYA UKIMWI NCHINI

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO
Utafiti wa Viashiria vya Virusi vya UKIMWI (VVU) na Maralia (THMIS) wa mwaka 2011/2012 kwa upande wa Tanzania Bara vinaonyesha kuwa idadi kubwa ya wanawake wameambukizwa ugonjwa huo kuliko wanaume.

Tuesday, April 26, 2016

Thursday, April 14, 2016

UTAFITI UMEONESHA KUWA ASILIMIA 71 YA WATANZANIA WANAFANYA KAZI AMBAZO HAZINA TIJAKWAO BINAFSI NA KWA TAIFA KWA UJUMLA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu),Jenista Mhagama,akizungumza katika katika uzinduzi wa matokeo ya utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi wa mwaka 2014. Uzinduzi huo ulifanyika katika Viwanja vya Karimjee,Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Sensa ya watu na Takwimu za Jamii,Ephraim Kwesigabo na Mkurugenzi Mkuu wa Takwimu nchini,Dk.Albina Chuwa.