Showing posts with label Kazi. Show all posts
Showing posts with label Kazi. Show all posts

Saturday, September 24, 2016

WAZIRI MHAGAMA ATEMBELEA TAASISI ZA ELIMU BUKOBA MJINI.

Mkurugenzi Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brigedia Jenerali Mbazi Msuya akimueleza Askofu wa Jimbo Katoliki la Bunda Renatusi Nkwande (wa pili kushoto) namna ya kutumia jengo la kanisa lililoathiriwa na tetemeko la ardhi lililopo ndani ya shule ya sekondari Ihungo. wa pili kulia ni Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama na Mhadhiri wa Seminari Kuu ya Ntungamo Padre Benedict Bigirwamungu (wa kwanza kulia).