Showing posts with label Ardhi na Mazingira. Show all posts
Showing posts with label Ardhi na Mazingira. Show all posts
Friday, January 22, 2016
SERIKALI IMNEJIKITA KUTOA ELIMU YA UZALISHAJI NA MATUMIZI ENDELEVU YA RASLIMALI.
Mkurugenzi Msaidizi Idara
ya Mipango Miji kutoka Wizara ya Ardhi,|Nyumba na Maendeleo ya Makazi George
Pangawe akizungumza na Waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kuhusu wananchi
kuzingatia sheria na kanuni za mipango miji nchini pale wanapotaka
kuendeleza ardhi kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Elimu ya Mazingira kutoka
Baraza la Taifa la Mazingira Carlos Mbuta na kulia ni Mkuu wa Idara ya Mipango
Miji, Ardhi na Mazingira Manispaa ya Kinondoni Bi. Juliana Letara
Mkuu wa Kitengo cha Elimu
ya Mazingira kutoka Baraza la Taifa la Mazingira Carlos Mbuta akizungumza na
Waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kuhusu elimu ya uzalishaji na matumizi
endelevu ya rasilimali ili waweze kunufaika na rasilimali hizi ambapo elimu
hiyo imeingizwa katika mitaala ya elimu hapa nchini kulia ni Msaidizi Idara ya
Mipango Miji kutoka Wizara ya Ardhi,|Nyumba na Maendeleo ya Makazi George
Pangawe.
Subscribe to:
Posts (Atom)