Showing posts with label Ardhi na Mazingira. Show all posts
Showing posts with label Ardhi na Mazingira. Show all posts

Friday, January 22, 2016

SERIKALI IMNEJIKITA KUTOA ELIMU YA UZALISHAJI NA MATUMIZI ENDELEVU YA RASLIMALI.

  Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mipango Miji kutoka Wizara ya Ardhi,|Nyumba na Maendeleo ya Makazi George Pangawe akizungumza na Waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kuhusu wananchi kuzingatia sheria na kanuni za mipango miji nchini pale wanapotaka kuendeleza ardhi kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Elimu ya Mazingira kutoka Baraza la Taifa la Mazingira Carlos Mbuta na kulia ni Mkuu wa Idara ya Mipango Miji, Ardhi na Mazingira Manispaa ya Kinondoni Bi. Juliana Letara
  Mkuu wa Kitengo cha Elimu ya Mazingira kutoka Baraza la Taifa la Mazingira Carlos Mbuta akizungumza na Waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kuhusu elimu ya uzalishaji na matumizi endelevu ya rasilimali ili waweze kunufaika na rasilimali hizi ambapo elimu hiyo imeingizwa katika mitaala ya elimu hapa nchini kulia ni Msaidizi Idara ya Mipango Miji kutoka Wizara ya Ardhi,|Nyumba na Maendeleo ya Makazi George Pangawe.