Showing posts with label Profesa Sospeter Muhongo. Show all posts
Showing posts with label Profesa Sospeter Muhongo. Show all posts

Tuesday, February 28, 2017

WAZIRI MKUUAZUNGUMZIA MINADA YA MADINI NCHINI,

 Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akisisitiza jambo katika kikao alichokiitisha kuhusu masuala ya madini kati yake na viongozi wa Serikali, viongozi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite One na baadhi ya wachimbaji wadogo ,kwenye Makazi yake Oysterbay jijini Dar es salaam   Februari 27, 2017. 

Tuesday, August 16, 2016

MPANGO MKUBWA UMEME NCHINI WAZINDULIWA, KAYA 500,000 KUPATA UMEME WA UHAKIKA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akizungumza huku akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa mpango wa TREEP katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia katika nchi za Tanzania, Burundi, Malawi na Somalia, Bella Bird 

Saturday, August 06, 2016

BRAZIL YAONESHA NIA KUZALISHA UMEME WA MAJI, MABAKI YA MIWA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Brazil nchini Tanzania, Carlos Alfonso Puente, wakati Balozi huyo alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Thursday, August 04, 2016

WAZIRI MHONGO ATEMBELEWA NA BALOZI WA JAPAN NCHINI TANZANIA.

BALOZI wa Japan nchini Tanzania, Masaharn Yoshida amemtembelea Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na kuzungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya nchi zao hususan katika sekta ya nishati.

Balozi Yoshida, aliyeambatana na Ujumbe wa baadhi ya maofisa kutoka Ubalozini na wataalam kadhaa kutoka Shirika la Japan Oil, Gas and Metals National Corporation (JOGMEC), alimtembelea Prof Muhongo Agosti 3 mwaka huu ofisini kwake, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa tatu kutoka kulia) akizungumza na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharn Yoshida (Kulia kwa Waziri) na Ujumbe wake, walipomtembelea Waziri ofisini kwake jijini Dar es Salaam hivi karibuni. 

Monday, April 25, 2016

WAZIRI MUHONGO AWASILI JIJINI DAR AKITOKEA NCHINI UGANDA KUKAMILISHA DILI LA BOMBA LA MAFUTA:



 Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kati) akiwasili jijini Dar es salaam jioni hii, akitokea Jijini Kampala alikoenda kukamilisha dili la bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, alioongozana nao ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kulia) pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Juliana Pallangyo.