Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata raia wawili wa China kwa makosa ya utekaji nyara mfanyakazi wa kasino ya Le Grande iliyopo maeneo ya Upanga, ambaye pia ni mchina aliyefahamika kwa jina la Liu Hong (48).
Showing posts with label Kamanda Simon Sirro. Show all posts
Showing posts with label Kamanda Simon Sirro. Show all posts
Wednesday, October 26, 2016
Friday, July 22, 2016
Wednesday, June 22, 2016
ASKOFU GWAJIMA AENDELEA KUSAKWA
Siku moja baada ya wakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, Peter Kibatala kuwaandikia barua Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda Simon Sirro amesema hawafanyi kazi kwa kufuata barua ya askofu huyo.
Sirro alithibitisha kupata barua hiyo, lakini akasema kuwa wanaendelea kumtafuta popote pale alipo na wakifahamu watamtia nguvuni.
Subscribe to:
Posts (Atom)

