Showing posts with label Dkt. John Pombe Magufuli. Show all posts
Showing posts with label Dkt. John Pombe Magufuli. Show all posts
Tuesday, July 26, 2016
Wednesday, June 01, 2016
Friday, May 27, 2016
Wednesday, May 18, 2016
WADAU WA MAZINGIRA WAANDAA TAMASHA LA MAZINGIRA LITAKALOMHUSISHA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE NA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI.
Rais mstaafu wa awamu ya nne Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.
Na. Lilian Lundo – Maelezo.
Watanzania wameombwa kutoa maoni kuhusu njia zipi zitumike kutunza mazingira na kukomesha uvuvi haramu wilayani Temeke katika tamasha la mazingira litakalofanyika Mei 27, 2016 kwenye fukwe za Sunrise – Kigamboni.
Thursday, March 10, 2016
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. JOHN POMBE MAGUFULI, AMEMTEMBELEA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MHE. MAALIM SEIF SHARIF HAMAD KATIKA HOTELI YA SERENA JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad jijini Dar es Salaam. Maalim Seif aliruhusiwa kutoka hospitalini jana na hali yake inaendelea vizuri.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad jijini Dar es Salaam. Maalim Seif amemshukuru Rais Dkt. Magufuli kwa kumjulia hali na kusema kuwa hali yake ya kiafya inaimarika siku baada ya siku.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad jijini Dar es Salaam mara baada ya kumjulia hali jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
RAIS WA VIETNAM MHE. TRUONG TANG SANG AMTEMBELEA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais wa Vietnam Mhe. Truong Tang Sang akiwa pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia wananchi na wafanyakazi wa Ikulu mara baada ya kuwasili.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa Vietnam Mhe. Truong Tang Sang wakati walipokuwa wanazungumza Ikulu jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Posts (Atom)


