Showing posts with label Dkt. John Pombe Magufuli. Show all posts
Showing posts with label Dkt. John Pombe Magufuli. Show all posts

Tuesday, July 26, 2016

RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA:

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiweka Sime katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma  Julai 25, 2016

Wednesday, June 01, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA HAFLA YA UTOAJI WA TUZO ZA RAIS KWA WAZALISHAJI BORA WA VIWANDA KWA MWAKA 2015.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua nembo mpya ya Tuzo za Rais kwa Wazalishaji bora wa Viwanda  PMAYA The President’s Manufacure of the Year  pamoja na Mwenyekiti wa Wenyeviwanda Tanzania CTI Dkt. Samwel Nyantahe katika Ukumbi wa Serena Jijini Dar es Salaam.

Friday, May 27, 2016

RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA JK IKULU JIJINI DAR:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.

Wednesday, May 18, 2016

WADAU WA MAZINGIRA WAANDAA TAMASHA LA MAZINGIRA LITAKALOMHUSISHA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE NA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI.

Rais mstaafu wa awamu ya nne Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.
Na. Lilian Lundo – Maelezo.
Watanzania  wameombwa kutoa  maoni kuhusu njia zipi  zitumike kutunza mazingira na kukomesha uvuvi haramu wilayani  Temeke katika tamasha  la mazingira litakalofanyika Mei 27, 2016 kwenye fukwe za Sunrise – Kigamboni.

Thursday, March 10, 2016

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. JOHN POMBE MAGUFULI, AMEMTEMBELEA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MHE. MAALIM SEIF SHARIF HAMAD KATIKA HOTELI YA SERENA JIJINI DAR ES SALAAM.


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad jijini Dar es Salaam. Maalim Seif aliruhusiwa kutoka hospitalini jana na hali yake inaendelea vizuri.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad jijini Dar es Salaam. Maalim Seif amemshukuru Rais Dkt. Magufuli kwa kumjulia hali  na kusema kuwa hali yake ya kiafya inaimarika siku baada ya siku.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad jijini Dar es Salaam mara baada ya kumjulia hali jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU

RAIS WA VIETNAM MHE. TRUONG TANG SANG AMTEMBELEA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.

Rais wa Vietnam Mhe. Truong Tang Sang akiwa pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia wananchi na wafanyakazi wa Ikulu mara baada ya kuwasili.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa Vietnam Mhe. Truong Tang Sang wakati walipokuwa wanazungumza Ikulu jijini Dar es Salaam.