Rais mstaafu wa awamu ya nne Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.
Na. Lilian Lundo – Maelezo.
Watanzania wameombwa kutoa maoni kuhusu njia zipi zitumike kutunza mazingira na kukomesha uvuvi haramu wilayani Temeke katika tamasha la mazingira litakalofanyika Mei 27, 2016 kwenye fukwe za Sunrise – Kigamboni.
