Showing posts with label Dkt. Hamisi Kigwangalla. Show all posts
Showing posts with label Dkt. Hamisi Kigwangalla. Show all posts

Wednesday, July 06, 2016

DK.KIGWANGALLA AFUNGA RASMI JUBILEE YA MIAKA 50 YA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO JIJINI MWANZA.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati mwenye suti ya bluu) akiwa katika jengo la kisasa linalojengwa kwa ajili ya Hospitali ya Kanisa la Waadventista wa Sabato Jijini Mwanza.

Tuesday, May 17, 2016

DKT. KIGWANGALLA AWATAKA WANAFUNZI KUPENDA KUSOMA MASOMO YA SAYANSI NCHINI.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akisalimiana Mku wa shule ya St. Mary's Mazinde Juu, Sister Evetha Kilamba wakati wa kuwasili katika eneo la Mahafali ya 19 ya kidato cha Sita ya shule ya St. Mary's Mazinde Juu, Lushoto Tanga.

Tuesday, March 01, 2016

NAIBU WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, DKT. HAMISI KIGWANGALLA AMEAGIZA KUFUNGWA KWA DUKA LA DAWA ZA BINADAMU LA SHINE CARE PHARMACY LILOPO TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM.

Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kigwangalla akiwaonyesha waandishi wa habari cheti cha Famasia kilichoisha muda wake huku akiendelea na biashara yake hiyo kinyume na sheria.

Mmoja wa maafisa wa TFDA, akikagua dawa katika duka hilo
NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.

Sunday, February 28, 2016

DR KIGWANGALA AWASHAURI WANANCHI KUWA NA TABIA YA KUPIMA AFYA YAO MARA KWA MARA.

 Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kigwangalla akitoa hutuba fupi wakati wa tukio hilo la kambi maalum ya matibabu ya bure kwa wananchi wote iliyoandaliwa na Care Foundation kwa kushirikiana na wadau wengine akiwemo Mbunge wa jimbo la Ilala, Mh. Mussa Hazan Zungu.

 Zoezi  likiendelea