Showing posts with label Care Foundation. Show all posts
Showing posts with label Care Foundation. Show all posts

Sunday, February 28, 2016

DR KIGWANGALA AWASHAURI WANANCHI KUWA NA TABIA YA KUPIMA AFYA YAO MARA KWA MARA.

 Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kigwangalla akitoa hutuba fupi wakati wa tukio hilo la kambi maalum ya matibabu ya bure kwa wananchi wote iliyoandaliwa na Care Foundation kwa kushirikiana na wadau wengine akiwemo Mbunge wa jimbo la Ilala, Mh. Mussa Hazan Zungu.

 Zoezi  likiendelea