Showing posts with label Utafiti Na Uongozi. Show all posts
Showing posts with label Utafiti Na Uongozi. Show all posts

Sunday, January 24, 2016

SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA WAMSHUKIA MHE MEMBE KWA MADAI KUWA AMEBEZA JUHUDU ZA RAIS WA AWAMU YA TANO.

 Ally S. Hapi, Katibu Wa Idara,
Elimu, Utafiti Na Uongozi,

SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ndugu waandishi wa habari, nimewaita hapa kuelezea masikitiko makubwa kutokana na kauli za hivi karibuni za aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ndugu Bernard Membe. Akifanya mahojiano na kunukuliwa na gazeti la Mwananchi la tarehe 22 na 23 Januari, 2016 , ndugu Membe amekaririwa akitoa kauli zenye maudhui ya kubeza juhudi za mh. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli na kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar. Kauli hizi zilijikita katika maeneo makubwa manne kama ifuatavyo:-