Elimu, Utafiti Na Uongozi,
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ndugu waandishi wa
habari, nimewaita hapa kuelezea masikitiko makubwa kutokana na kauli za hivi
karibuni za aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ndugu Bernard Membe. Akifanya
mahojiano na kunukuliwa na gazeti la Mwananchi la tarehe 22 na 23 Januari, 2016
, ndugu Membe amekaririwa akitoa kauli zenye maudhui ya kubeza juhudi za mh.
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli na kufutwa kwa
uchaguzi wa Zanzibar. Kauli hizi zilijikita katika maeneo makubwa manne kama
ifuatavyo:-
