Showing posts with label Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai. Show all posts
Showing posts with label Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai. Show all posts

Tuesday, June 14, 2016

NAIBU SPIKA TULIA ACKSON AKOMAA NA KITI CHA SPIKA KWA SIKU 10


Tangu wabunge wa upinzani waanze kususa vikao vinavyoongozwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson, kiongozi huyo wa Bunge ameamua ‘kukomaa’ na kiti hicho, hatua inayosababisha wapinzani wasipate fursa ya kutia mguu bungeni.

Wednesday, April 20, 2016

WABUNGE WAKIAPA AMBAO HAWAJAAPA KATIKA KIKAO KILICHO PITA BUNGENI MJINI DODOMA.

Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongozwa na Mpambe wa Bunge kuingia kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma kuongoza kikao cha kwanza cha mkutano wa tatu wa Bunge Aprili 19, 2016.

Tuesday, March 22, 2016

MKURUGENZI MTENDAJI WA EWURA AMTEMBELEA SPIKA:

   Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson kizungumza na Wajumbe wa  Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakati Kamati hiyo ilipokutana na  Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa. 
  Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimsikiliza Meneja Mahusiano wa EWURA Bw Titus Kaguo wakati walipomtemblea Ofisini kwake kati kati ni Mkurugenzi Mtendaji wa EWURA Bw. Felix Mgamlagosi (Picha na Ofisi ya Bunge)