Showing posts with label Dk Tulia Ackson. Show all posts
Showing posts with label Dk Tulia Ackson. Show all posts

Tuesday, June 14, 2016

NAIBU SPIKA TULIA ACKSON AKOMAA NA KITI CHA SPIKA KWA SIKU 10


Tangu wabunge wa upinzani waanze kususa vikao vinavyoongozwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson, kiongozi huyo wa Bunge ameamua ‘kukomaa’ na kiti hicho, hatua inayosababisha wapinzani wasipate fursa ya kutia mguu bungeni.

Thursday, June 02, 2016

MHE.MBOWE ASEMA WABUNGE WA UPINZANI WAPO TAYARI KUTOLEWA WOTE BUNGENI

Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson sasa amesababisha makubwa zaidi; wabunge kutoka vyama vya upinzani wako radhi kutimuliwa wote iwapo kiongozi huyo ataongoza vikao vyote vilivyosalia na wao kuendelea na msimamo wao wa kumsusia. 

Jana, Dk Ackson aliingia kuongoza kipindi cha maswali na majibu na wabunge wote wa vyama vya upinzani wakatoka ndani ya ukumbi na alipomuachia mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge kuendelea na shughuli zilizosalia, walirejea ukumbini.