Showing posts with label na Shinyanga. Show all posts
Showing posts with label na Shinyanga. Show all posts

Tuesday, May 10, 2016

MBUNGE WA DODOMA MJINI NA NAIBU WAZIRI WA KAZI, VIJANA NA AJIRA, MHE. ANTONY MAVUNDE ATEMBELEA KAMBI TIBA YA GSM DODOMA

Mbunge wa Dodoma Mjini na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde  amefanya ziara ya kushtukiza katika kambi tiba ya GSM Foundation inayofanywa na kikosi cha Madaktari bingwa kutoka hospitali ya MOI, ambayo kuanzia  imepiga kambi Dodoma baada ya kutoka katika mikoa ya Mwanza, Singida, na Shinyanga.