Showing posts with label Naibu Waziri wa Ujenzi. Show all posts
Showing posts with label Naibu Waziri wa Ujenzi. Show all posts
Friday, July 22, 2016
Monday, May 16, 2016
NAIBU WAZIRI INJINIA EDWIN NGONYANI AZINDUA SERA YA TEHAMA MJINI DODOMA:
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Injinia Edwin Ngonyani (wa pili kulia) akizindua Sera ya Taifa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ya mwaka 2016 leo mjini Dodoma. Wengine ni Mwakilishi wa Balozi wa Finland nchini Oscar Kassy(kulia) , Katibu Mkuu wa Wizara hiyo aliyeshughulikia mawasiliano Profesa Faustin Kamuzora( wa pili kushoto) na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Rehema Madenge(kushoto)
Thursday, January 28, 2016
SERIKALI YA TANZANIA KUAHIDI KUJENGA BARABARA KWA KIWANGO CHA LAMI.
Serikali imeahidi kuendelea na ujenzi
wa barabara katika maeneo tofauti nchini kwa kiwango cha lami ili kutatua adha
kubwa ya ubovu wa barabara ulipo katika maeneo mengi nchini.
Hayo yamesemwa leo Mjini Dodoma na
Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Eng Godwin
Ngonyani akijibu maswali ya wabunge waliouliza kuhusu mpango wa serikali
kuboresha barabara zilizopo na kujenga mpya ili kukabiliana na adha ya ubovu wa
barabara nchini.
Subscribe to:
Posts (Atom)
