Showing posts with label Dodoma. Show all posts
Showing posts with label Dodoma. Show all posts
Friday, April 29, 2016
Thursday, January 21, 2016
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMESEMA KUWA WANANCHI WANAANGALIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) MAANA NDIYO KITOVU CHA NCHI.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ndiyo kitovu cha nchi na kwamba kila Mtanzania ameelekeza jicho lake pale kwa sababu anasubiri kupata huduma ya msingi.
“Hapa ndiyo kitovu
cha nchi na Watanzania wote macho yao yako huku. Kwa nini? Kwa sababu huduma
zinasowagusa za barabara, maji, elimu, zinatokea huku kwa maana ya bajeti na
usimamizi,” alisema.
Ametoa kauli hiyo leo
(Alhamisi, Januari 21, 2016) wakati akizungumza na wakurugenzi, wakuu wa
taasisi na watumishi wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwenye mkutano uliofanyika
ofisi ya TAMISEMI mjini Dodoma.
Subscribe to:
Posts (Atom)