Waziri wa Kilimo ,Mifugo na uvuvi Bw Mwigulu Nchemba katikati akizungumza na mpiga kura wake Gaile Elias ambae alipata kumgonga na Baiskeli mwaka 1999 wakati akiwa masomoni na jana wakati wa ziara yake alikutana nae ,kushoto ni katibu wake Bw Daud Ntukuna akishuhudia
Showing posts with label Bw Mwigulu Nchemba. Show all posts
Showing posts with label Bw Mwigulu Nchemba. Show all posts
Monday, June 06, 2016
Tuesday, May 31, 2016
SERIKALI YA CHINA YATOA MSAADA WA MADAWATI YA TSH MILIONI 20,
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida Martha Mlata ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida (kulia) akimkabidhi zawadi ya boga kubwa lenye zaidi ya kilo 7 balozi wa china nchini Tanzani Dr Lu Yong,ng baada ya kufanya ziara wilaya ya Iramba mkoa wa Singida na kutoa msaada wa madawati 400 yenye thamani ya Tsh milioni 20 , kushoto ni waziri wa Kilimo ,mifugo na uvuvi Bw Mwigulu Nchemba ambae ni mbunge wa Iramba pia akiwa ameshika boga la zawadi kwa balozi huyo( picha na matukiodaimaBlog) .
Subscribe to:
Posts (Atom)