Waziri wa Kilimo ,Mifugo na uvuvi Bw Mwigulu Nchemba katikati akizungumza na mpiga kura wake Gaile Elias ambae alipata kumgonga na Baiskeli mwaka 1999 wakati akiwa masomoni na jana wakati wa ziara yake alikutana nae ,kushoto ni katibu wake Bw Daud Ntukuna akishuhudia