Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida Martha Mlata ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida (kulia) akimkabidhi zawadi ya boga kubwa lenye zaidi ya kilo 7 balozi wa china nchini Tanzani Dr Lu Yong,ng baada ya kufanya ziara wilaya ya Iramba mkoa wa Singida na kutoa msaada wa madawati 400 yenye thamani ya Tsh milioni 20 , kushoto ni waziri wa Kilimo ,mifugo na uvuvi Bw Mwigulu Nchemba ambae ni mbunge wa Iramba pia akiwa ameshika boga la zawadi kwa balozi huyo( picha na matukiodaimaBlog) .