Showing posts with label Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai. Show all posts
Showing posts with label Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai. Show all posts

Monday, November 14, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA MAREHEMU SAMWEL JOHN SITTA,URAMBO MKOANI TABORA


Mjane wa Marehemu Spika Mstaafu, Margareth Sitta, Mama Mzazi wa marehemu, na watoto wa marehemu wakigusa jeneza na kushuhudia wakati mwili wa marehemu Samuel Sitta ulipoteremshwa kaburini katika mazishi yaliyofanyika urambo, Tabora.

Wednesday, June 08, 2016

BUNGE LAKANUSHA UVUMI ULIOENEA KUHUSU AFYA YA SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI:

Ofisi ya Bunge imesema Spika wa Bunge, Job Ndugai anatarajiwa kurejea nchini muda wowote akitokea India alipokuwa akifanya uchunguzi wa afya yake.

Taarifa hiyo ya Bunge imekuja siku moja baada ya taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa kiongozi huyo yuko katika hali mbaya, jambo ambalo limeelezwa siyo kweli. Takribani wiki ya tatu sasa, Ndugai hajaonekana bungeni.

Thursday, May 05, 2016