Showing posts with label Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi – Kisutu. Show all posts
Showing posts with label Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi – Kisutu. Show all posts

Thursday, February 16, 2017

YUSUF MANJI KAACHIWA HURU KWA DHAMANA YA MILIONI 20

Mfanyabiashara maarufu Yusufu Manji amepata dhamana baada ya kusomewa shtaka moja la kutumia dawa za kulevya aina ya heroine.

Manji amesomewa shtaka hilo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  baada ya wakili wake Alex Mgongolwa kuiomba dhamana na Jamhuri kusema haina pingamizi kwani shtaka hilo linadhaminika.

Wednesday, August 24, 2016

KESI YA TUNDU LISSU YAIHIRISHWA































Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi – Kisutu, Yohanne Yongolo ameihairisha kesi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe Tundu Lissu hadi Septemba 6 mwaka huu ili kutoa uamuzi wa maombi yaliyoombwa na upande wa mshtakiwa.