Showing posts with label shule ya sekondari ya Iyunga. Show all posts
Showing posts with label shule ya sekondari ya Iyunga. Show all posts

Tuesday, March 01, 2016

BWENI LA WAVULANA WA SHULE YA SEKONDARI IYUNGA JIJINI MBEYA LATEKETEA KWA MOTO.

 Moto ukiendelea kuteketeza Bweni la Wavulana (Mkwawa ) katika shule ya sekondari ya Iyunga jijini Mbeya ambapo chanzo chake kimetajwa kuwa ni hitilafu ya umeme ambapo moto huo ulizuka majira ya saa 3 asubuhi february 29 mwaka huu wakati wanafunzi wakiwa madarasani. 
 Muonekano wa bweni la Wavulana katika shule ya sekondari Iyunga jijini Mbeya mara baada ya kuteketea kwa moto uliosababishwa na hitilafu ya umeme majira saa 3 asubuhi ambapo hakuna mwanafunzi yeyote aliyejeruhiwa kutokana na ajali hiyo ya moto.