Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa
Balozi Seif Ali Idd amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli kuwa hali ya Zanzibar ni shwari na Wazanzibar wanasubiri
kutangaziwa tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi.
