Showing posts with label Wizara ya Fedha na Mipango. Show all posts
Showing posts with label Wizara ya Fedha na Mipango. Show all posts

Saturday, June 25, 2016

WAZIRI DKT MWAKYEMBE AWATAKA WAPANGA MIPANGO KUFANYAKAZI KWA WELEDI.

 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza katika Mkutano wa Mwaka wa Wachumi na Maafisa Mipango unaofanyika katika ukumbi wa Hazina mjini Dodoma. Alifungua mkutano huo kwa niaba ya Waziri wa Fedha na Mipango Mge. Dkt. Philip Mpango. Kaulimbiu ya Mkutano ni Kuelekea kwenye Utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano.