Showing posts with label William Masanja.Mh. Paul Makonda. Show all posts
Showing posts with label William Masanja.Mh. Paul Makonda. Show all posts

Monday, February 29, 2016

NEEMA YAWAANGUKIA WALIMU WA SERIKALI KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM KUSAFIRI BURE KWA DALADALA

 Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kazini.
 Mwenyekiti wa Chama Chama Wamiliki wa Daladala Mkoa wa Dar es salaam, Said Mabrouk(wa kwanza kushoto) akizungumzia mwitikio wa wamiliki hao kuhusu kuwasafirisha walimu ili kuunga mkono juhudi za Mkuu wa Wilaya ya Konondoni Mh. Paul makonda na Rais Dk. John Pombe Magufuli katika kutoa elimu bure hapa nchini, kutoka kulia ni Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Madereva, Shabani Mdemu, wa pili kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wasafirishaji abiria Dar es Salaam, (UWADAR),William Masanja.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wasafirishaji abiria Dar es Salaam, (UWADAR),William Masanja akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.