Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Mhe Angellah Kairuki(kushoto) akiwa na baadhi ya wajumbe wa kamati ya
kudumu ya bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakimsikiliza kwa makini
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Dkt.Henry Mambo wakati
alipokuwa akiwaelezea maadeleo ya ukarabati wa majengo ya chuo hicho
tawi la Magogonijijini Dar es Slaam, kamati ya bunge ilifanya ziara ya
kikazi katika chuo hicho.