Showing posts with label Wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla. Show all posts
Showing posts with label Wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla. Show all posts

Tuesday, March 21, 2017

Kingwangala Ataja Sababu za Kutowataja Mashoga Hadharani

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla kwa mara ya kwanza ametoa sababu ya yeye kushindwa kuweka wazi orodha ya watu wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja (mashoga).